Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua kuwa miliki yake mwenyewe.+ Zaburi 144:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wenye furaha ni watu wenye hali hizo! Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+ Zaburi 146:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+
12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua kuwa miliki yake mwenyewe.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+