Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua kuwa miliki yake mwenyewe.+ Zaburi 37:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana waovu wataangamizwa,+Lakini wale wanaomtumaini Yehova wataimiliki dunia.+ Zaburi 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mwangalie mtu asiye na lawama,*Na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa na amani.+ Zaburi 146:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+
12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua kuwa miliki yake mwenyewe.+
37 Mwangalie mtu asiye na lawama,*Na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa na amani.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaidizi wake,+Ambaye anamtumaini Yehova Mungu wake,+