19 Kwa maana jua halitakuwa tena nuru ya mchana kwako,
Wala nuru ya mwezi haitakuangazia,
Kwa maana Yehova atakuwa nuru ya milele kwako,+
Na Mungu wako atakuwa urembo wako.+
20 Jua lako halitatua tena,
Wala mwezi wako hautafifia,
Kwa maana Yehova atakuwa nuru yako ya milele,+
Na siku zako za kuomboleza zitakuwa zimekwisha.+