Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu.

      Nimwogope nani?+

      Yehova ni ngome ya uhai wangu.+

      Nimhofu nani?

  • Isaya 60:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana jua halitakuwa tena nuru ya mchana kwako,

      Wala nuru ya mwezi haitakuangazia,

      Kwa maana Yehova atakuwa nuru ya milele kwako,+

      Na Mungu wako atakuwa urembo wako.+

      20 Jua lako halitatua tena,

      Wala mwezi wako hautafifia,

      Kwa maana Yehova atakuwa nuru yako ya milele,+

      Na siku zako za kuomboleza zitakuwa zimekwisha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki