Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wewe ndiye chanzo cha uhai;+

      Kwa nuru yako tunaweza kuona nuru.+

  • Isaya 60:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 “Inuka, Ee mwanamke,+ angaza nuru, kwa maana nuru yako imekuja.

      Utukufu wa Yehova unakuangazia.+

  • Ufunuo 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na lile jiji halihitaji jua wala mwezi kuliangazia, kwa maana utukufu wa Mungu uliliangazia,+ na taa yake ilikuwa yule Mwanakondoo.+

  • Ufunuo 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pia, hakutakuwa na usiku tena,+ na hawahitaji nuru ya taa au ya jua, kwa maana Yehova* Mungu ataangaza nuru yake juu yao,+ nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki