Zaburi 36:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wewe ndiye chanzo cha uhai;+Kwa nuru yako tunaweza kuona nuru.+ Isaya 60:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 60 “Inuka, Ee mwanamke,+ angaza nuru, kwa maana nuru yako imekuja. Utukufu wa Yehova unakuangazia.+ Ufunuo 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na lile jiji halihitaji jua wala mwezi kuliangazia, kwa maana utukufu wa Mungu uliliangazia,+ na taa yake ilikuwa yule Mwanakondoo.+ Ufunuo 22:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, hakutakuwa na usiku tena,+ na hawahitaji nuru ya taa au ya jua, kwa maana Yehova* Mungu ataangaza nuru yake juu yao,+ nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+
23 Na lile jiji halihitaji jua wala mwezi kuliangazia, kwa maana utukufu wa Mungu uliliangazia,+ na taa yake ilikuwa yule Mwanakondoo.+
5 Pia, hakutakuwa na usiku tena,+ na hawahitaji nuru ya taa au ya jua, kwa maana Yehova* Mungu ataangaza nuru yake juu yao,+ nao watatawala wakiwa wafalme milele na milele.+