Yeremia 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Ole wao wachungaji wanaowaangamiza na kuwatawanya kondoo wa malisho yangu!” asema Yehova.+ Mika 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nilisema: “Sikieni, tafadhali, enyi viongozi wa YakoboNanyi makamanda wa nyumba ya Israeli.+ Je, hampaswi kujua jambo lililo la haki? Mika 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+ Sefania 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakuu wake walio ndani yake ni simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake ni mbwamwitu wakati wa usiku;Hawaachi hata mfupa mmoja wa kuguguna mpaka asubuhi. Zekaria 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ole wake mchungaji wangu asiyefaa,+ anayeliacha kundi!+ Upanga utakata mkono wake na jicho lake la kulia. Mkono wake utapooza kabisa,Na jicho lake la kulia litapofuka* kabisa.” Mathayo 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu mnawafungia watu Ufalme wa mbinguni; kwa maana ninyi wenyewe hamwingii, na mnawazuia wale wanaotaka kuingia.+
3 Nilisema: “Sikieni, tafadhali, enyi viongozi wa YakoboNanyi makamanda wa nyumba ya Israeli.+ Je, hampaswi kujua jambo lililo la haki?
11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+
3 Wakuu wake walio ndani yake ni simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake ni mbwamwitu wakati wa usiku;Hawaachi hata mfupa mmoja wa kuguguna mpaka asubuhi.
17 Ole wake mchungaji wangu asiyefaa,+ anayeliacha kundi!+ Upanga utakata mkono wake na jicho lake la kulia. Mkono wake utapooza kabisa,Na jicho lake la kulia litapofuka* kabisa.”
13 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu mnawafungia watu Ufalme wa mbinguni; kwa maana ninyi wenyewe hamwingii, na mnawazuia wale wanaotaka kuingia.+