Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana wachungaji wametenda kwa upumbavu,+

      Wala hawajatafuta ushauri kutoka kwa Yehova.+

      Ndiyo sababu hawajatenda kwa ufahamu,

      Na kondoo wao wote wametawanyika.”+

  • Yeremia 50:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Watu wangu wamekuwa kundi la kondoo waliopotea.+ Wachungaji wao wenyewe waliwafanya wapotee.+ Waliwapeleka kwenye milima, wakitangatanga kutoka mlima mpaka kilima. Wamepasahau mahali pao pa kupumzika.

  • Ezekieli 34:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, tabiri dhidi ya wachungaji wa Israeli. Tabiri, na uwaambie wachungaji hao, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ole wao wachungaji wa Israeli,+ ambao wamekuwa wakijilisha wenyewe! Je, wachungaji hawapaswi kulilisha kundi?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki