Yeremia 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Watu wangu wamekuwa kundi la viumbe vinavyoangamia.+ Wachungaji wao wamewafanya waende huku na huku.+ Wamewapeleka juu ya milima.+ Wameenda kutoka mlima mpaka kilima. Wamepasahau mahali pao pa kupumzika.+
6 Watu wangu wamekuwa kundi la viumbe vinavyoangamia.+ Wachungaji wao wamewafanya waende huku na huku.+ Wamewapeleka juu ya milima.+ Wameenda kutoka mlima mpaka kilima. Wamepasahau mahali pao pa kupumzika.+