Yeremia 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana wachungaji wamejiendesha bila kutumia akili,+ wala hawakumtafuta Yehova.+ Ndiyo sababu hawakutenda kwa ufahamu, na wanyama wao wote waliolishwa wametawanywa.”+
21 Kwa maana wachungaji wamejiendesha bila kutumia akili,+ wala hawakumtafuta Yehova.+ Ndiyo sababu hawakutenda kwa ufahamu, na wanyama wao wote waliolishwa wametawanywa.”+