-
Yeremia 10:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Ndiyo sababu hawajatenda kwa ufahamu,
Na kondoo wao wote wametawanyika.”+
-
-
Ezekieli 34:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Kondoo wangu waliendelea kutangatanga kwenye milima yote na kwenye kila kilima kirefu; kondoo wangu walitawanyika kotekote duniani, na hakuna aliyewatafuta au kujitahidi kuwapata.
-