Yeremia 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Makuhani hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi?’+ Wale wanaoshughulika na Sheria hawakunijua,Wachungaji waliniasi,+Manabii walitabiri kupitia Baali,+Nao wakawafuata wale ambao hawangewafaidi hata kidogo. Yeremia 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wenye hekima wameaibishwa.+ Wameogopa nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova,Nao wana hekima gani?
8 Makuhani hawakuuliza, ‘Yehova yuko wapi?’+ Wale wanaoshughulika na Sheria hawakunijua,Wachungaji waliniasi,+Manabii walitabiri kupitia Baali,+Nao wakawafuata wale ambao hawangewafaidi hata kidogo.
9 Wenye hekima wameaibishwa.+ Wameogopa nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova,Nao wana hekima gani?