Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Katika siku zake Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akapanda, na kwa hiyo Yehoyakimu akawa mtumishi+ wake kwa miaka mitatu. Hata hivyo, yeye aligeuka na kumwasi.

  • Yeremia 27:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘“‘Na itatukia kwamba lile taifa na ule ufalme ambao hautamtumikia Nebukadneza mfalme wa Babiloni; na lile ambalo halitatia shingo yake chini ya nira ya mfalme wa Babiloni, nitakaza fikira zangu juu ya taifa hilo kwa upanga+ na kwa njaa+ na kwa tauni,’+ asema Yehova, ‘mpaka nitakapokuwa nimewamaliza kabisa kwa mkono wake.’+

  • Yeremia 32:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa hiyo Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninalitia jiji hili katika mkono wa Wakaldayo na katika mkono wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni, naye lazima ataliteka.+

  • Yeremia 43:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nawe uwaambie, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Tazama, ninatuma watu na kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babiloni,+ mtumishi wangu,+ nami nitakiweka kiti chake cha ufalme juu ya mawe haya ambayo nimeyaficha, na hakika yeye atanyoosha hema lake la fahari juu yake.

  • Ezekieli 26:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, juu ya Tiro ninamleta Nebukadreza mfalme wa Babiloni kutoka kaskazini,+ mfalme wa wafalme,+ pamoja na farasi+ na magari ya vita+ na askari wapanda-farasi na kutaniko,+ naam, umati wa watu.

  • Danieli 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Mfalme Nebukadneza, kwa vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha ambavyo vinakaa katika dunia yote:+ Amani yenu na iwe nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki