-
Yeremia 27:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 “‘“‘Na itatukia kwamba lile taifa na ule ufalme ambao hautamtumikia Nebukadneza mfalme wa Babiloni; na lile ambalo halitatia shingo yake chini ya nira ya mfalme wa Babiloni, nitakaza fikira zangu juu ya taifa hilo kwa upanga+ na kwa njaa+ na kwa tauni,’+ asema Yehova, ‘mpaka nitakapokuwa nimewamaliza kabisa kwa mkono wake.’+
-