9 Yeye anayeketi tuli katika jiji hili atakufa kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni;+ lakini yeye anayetoka nje na ambaye kwa kweli anajitia mkononi mwa Wakaldayo wanaowazingira ninyi ataendelea kuishi, na nafsi yake hakika itakuwa kama nyara kwake.”’+
16 itatukia pia kwamba ule upanga ambao mnaogopa utawafikia huko katika nchi ya Misri,+ na ile njaa ambayo mnaiogopa itawafuatilia kwa ukaribu mpaka Misri;+ nanyi mtakufa huko.+
8 Ataua, naam, kwa upanga, miji yako ya kandokando iliyoko shambani, naye atajenga ukuta wa kukuzingira na kujenga juu yako boma la kuzingira+ na kuinua juu yako ngao kubwa;