Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake,+ naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba,+ akampeleka Babiloni.+

  • Yeremia 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Yeye anayeketi tuli katika jiji hili atakufa kwa upanga na kwa njaa na kwa tauni;+ lakini yeye anayetoka nje na ambaye kwa kweli anajitia mkononi mwa Wakaldayo wanaowazingira ninyi ataendelea kuishi, na nafsi yake hakika itakuwa kama nyara kwake.”’+

  • Yeremia 42:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 itatukia pia kwamba ule upanga ambao mnaogopa utawafikia huko katika nchi ya Misri,+ na ile njaa ambayo mnaiogopa itawafuatilia kwa ukaribu mpaka Misri;+ nanyi mtakufa huko.+

  • Ezekieli 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ataua, naam, kwa upanga, miji yako ya kandokando iliyoko shambani, naye atajenga ukuta wa kukuzingira na kujenga juu yako boma la kuzingira+ na kuinua juu yako ngao kubwa;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki