Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Neno lililomjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, yaani, mwaka wa kwanza wa Nebukadreza mfalme wa Babiloni;

  • Yeremia 46:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa ajili ya Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri,+ aliyekuwa kando ya mto Efrati kule Karkemishi,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimshinda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda:

  • Danieli 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Katika mwaka wa tatu wa ufalme wa Yehoyakimu+ mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu na kulizingira.+

  • Danieli 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu+ ya dhahabu, ambayo urefu wake ulikuwa mikono 60 na upana wake mikono 6. Akaisimamisha katika nchi tambarare ya Dura katika wilaya ya utawala ya Babiloni.+

  • Danieli 4:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Wakati huohuo+ neno lile likatimia juu ya Nebukadneza, naye akafukuziwa mbali kutoka kati ya wanadamu, akaanza kula majani kama ng’ombe. Mwili wake ukalowana maji kwa umande wa mbinguni, mpaka nywele zake zikawa ndefu kama manyoya ya tai na kucha zake kama kucha za ndege.+

  • Danieli 4:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 “Basi mimi, Nebukadneza, namsifu na kumkweza na kumtukuza Mfalme wa mbinguni,+ kwa sababu kazi zake zote ni kweli na njia zake ni haki,+ na kwa sababu wale wanaotembea kwa kiburi yeye anaweza kuwafedhehesha.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki