4 Zaidi ya hayo, mfalme+ wa Misri akamfanya Eliakimu+ ndugu yake kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu na kulibadili jina lake kuwa Yehoyakimu; lakini Neko+ akamchukua Yehoahazi ndugu yake na kumpeleka Misri.+
18 “Kwa hiyo Yehova amesema hivi kumhusu Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, ‘Hawataomboleza kwa ajili yake: “Aa! ndugu yangu! Na Aa! dada yangu!” Hawataomboleza kwa ajili yake: “Aa! Ee bwana! Na Aa! heshima yake!”+
30 Kwa hiyo Yehova amesema hivi juu ya Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Hatakuwa na mtu yeyote anayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ na maiti yake itakuwa kitu kilichotupwa nje+ kwenye joto wakati wa mchana na kwenye baridi kali wakati wa usiku.