29 Katika siku zake Farao Neko+ mfalme wa Misri alipanda kuja kwa mfalme wa Ashuru kando ya mto Efrati,+ na Mfalme Yosia akaenda kukutana naye;+ lakini akamuua+ kule Megido+ mara tu alipomwona.
2 Kwa ajili ya Misri,+ kuhusu jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri,+ aliyekuwa kando ya mto Efrati kule Karkemishi,+ ambaye Nebukadreza mfalme wa Babiloni alimshinda katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda: