Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 29:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nami nitapiga kambi pande zote juu yako, nami nitakuzingira kwa ngome na kusimamisha juu yako mazingiwa.+

  • Yeremia 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wakati huo majeshi ya mfalme wa Babiloni yalikuwa yanazingira Yerusalemu;+ naye Yeremia nabii alikuwa chini ya kizuizi katika Ua wa Walinzi+ ulio katika nyumba ya mfalme wa Yuda;

  • Yeremia 37:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba wakati jeshi la Wakaldayo lilipokuwa limejiondoa juu ya Yerusalemu+ kwa sababu ya jeshi la Farao,+

  • Yeremia 52:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mwishowe ikawa kwamba katika mwaka wa tisa wa kuwa kwake mfalme,+ katika mwezi wa kumi, katika siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadreza mfalme wa Babiloni akaja, yeye pamoja na jeshi lake lote, juu ya Yerusalemu,+ nao wakaanza kupiga kambi juu yake na kujenga juu yake ukuta wa kumzingira pande zote.+

  • Ezekieli 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nawe utalizingira+ na kujenga ukuta wa kulizingira+ na kuweka boma la kulizingira+ na kuweka kambi kulizunguka na kuweka mitambo ya kubomolea kulizunguka pande zote.+

  • Ezekieli 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Katika mkono wake wa kuume uaguzi ulikuwa kwa ajili ya Yerusalemu, ili kuweka mitambo ya kubomolea,+ kufungua kinywa cha mtu kwa ajili ya uchinjaji, kupaaza sauti ya king’ora,+ kuweka mitambo ya kubomolea juu ya malango, kujenga boma la kuzingira, kujenga ukuta wa kuzingira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki