Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 32:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tazama! Watu wamekuja na maboma ya kuzingira+ kwenye jiji ili kuliteka,+ na jiji hili hakika litatiwa mkononi mwa Wakaldayo wanaopiga vita juu yake,+ kwa sababu ya upanga+ na njaa+ na tauni;+ na lile ulilosema limetendeka, na, tazama, wewe unaliona.+

  • Yeremia 52:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mwishowe ikawa kwamba katika mwaka wa tisa wa kuwa kwake mfalme,+ katika mwezi wa kumi, katika siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadreza mfalme wa Babiloni akaja, yeye pamoja na jeshi lake lote, juu ya Yerusalemu,+ nao wakaanza kupiga kambi juu yake na kujenga juu yake ukuta wa kumzingira pande zote.+

  • Ezekieli 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na wewe, jichukulie kiokeo cha chuma, nawe utakiweka kuwa ukuta wa chuma kati yako na jiji hilo, nawe utaukaza uso wako juu yake, nalo litazingirwa, nawe utalizingira. Hiyo ni ishara kwa nyumba ya Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki