6 Mbele ya macho yao utaibeba begani. Wakati wa giza utaitoa nje. Utaufunika uso wako usiione dunia, kwa sababu nimekufanya kuwa ishara+ kwa nyumba ya Israeli.”+
24 Na Ezekieli amekuwa ishara kwa ajili yenu.+ Mtatenda kulingana na yote ambayo ametenda. Litakapokuja jambo hili,+ ninyi pia mtalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’ ” ’ ”+