18 Tazama! Mimi na watoto ambao Yehova amenipa+ ni kama ishara+ na kama miujiza katika Israeli kutoka kwa Yehova wa majeshi, anayekaa katika Mlima Sayuni.+
3 Na wewe, jichukulie kiokeo cha chuma, nawe utakiweka kuwa ukuta wa chuma kati yako na jiji hilo, nawe utaukaza uso wako juu yake, nalo litazingirwa, nawe utalizingira. Hiyo ni ishara kwa nyumba ya Israeli.+
3 Na wewe, Ee mwana wa binadamu, jifanyie mizigo kwa ajili ya uhamisho nawe uende uhamishoni wakati wa mchana mbele ya macho yao, nawe utaenda uhamishoni kutoka mahali pako mpaka mahali pengine mbele ya macho yao. Labda wataona, ingawa wao ni nyumba yenye kuasi.+