Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nao wakaja, wakamzingira katika Abeli la Beth-maaka, wakatengeneza boma la kulizingira jiji hilo,+ kwa kuwa lilikuwa ndani ya boma. Na watu wote waliokuwa pamoja na Yoabu walikuwa wanauchimbua ukuta, ili kuubomoa.

  • Yeremia 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi: “Kateni miti+ na mjenge boma la kuzingira+ Yerusalemu. Yeye ni jiji ambalo lazima litozwe hesabu.+ Yeye ni ukandamizaji mtupu katikati yake.+

  • Yeremia 32:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Tazama! Watu wamekuja na maboma ya kuzingira+ kwenye jiji ili kuliteka,+ na jiji hili hakika litatiwa mkononi mwa Wakaldayo wanaopiga vita juu yake,+ kwa sababu ya upanga+ na njaa+ na tauni;+ na lile ulilosema limetendeka, na, tazama, wewe unaliona.+

  • Ezekieli 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ataua, naam, kwa upanga, miji yako ya kandokando iliyoko shambani, naye atajenga ukuta wa kukuzingira na kujenga juu yako boma la kuzingira+ na kuinua juu yako ngao kubwa;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki