2 Wafalme 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Manase pia alimwaga kwa wingi sana damu isiyo na hatia,+ mpaka alipolijaza Yerusalemu kutoka mwisho huu mpaka mwisho ule, mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda dhambi kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Ezekieli 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “ ‘Fanya mnyororo,+ kwa maana nchi yenyewe imejaa hukumu yenye madoa ya damu+ na jiji lenyewe limejaa jeuri.+
16 Manase pia alimwaga kwa wingi sana damu isiyo na hatia,+ mpaka alipolijaza Yerusalemu kutoka mwisho huu mpaka mwisho ule, mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda dhambi kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+
23 “ ‘Fanya mnyororo,+ kwa maana nchi yenyewe imejaa hukumu yenye madoa ya damu+ na jiji lenyewe limejaa jeuri.+