Isaya 59:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utando wao wa buibui hautatumika kama vazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao.+ Kazi zao ni kazi zenye madhara, na matendo ya jeuri yako mikononi mwao.+ Mika 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+
6 Utando wao wa buibui hautatumika kama vazi, wala hawatajifunika kwa kazi zao.+ Kazi zao ni kazi zenye madhara, na matendo ya jeuri yako mikononi mwao.+
2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+