Yeremia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kama tangi linavyoweka maji yake yakiwa baridi, ndivyo yeye alivyouweka ubaya wake ukiwa baridi. Jeuri na uporaji zimesikiwa ndani yake;+ ugonjwa na tauni ziko mbele za uso wangu sikuzote. Amosi 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao hawajajua jinsi ya kufanya yaliyo manyoofu,”+ asema Yehova, “wale wanaoweka jeuri+ akiba na uporaji katika minara ya makao yao.” ’ Mika 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana watu wake mwenyewe walio matajiri wamejaa jeuri, na wakaaji wake mwenyewe wamesema uwongo,+ na ulimi wao una udanganyifu kinywani mwao.+
7 Kama tangi linavyoweka maji yake yakiwa baridi, ndivyo yeye alivyouweka ubaya wake ukiwa baridi. Jeuri na uporaji zimesikiwa ndani yake;+ ugonjwa na tauni ziko mbele za uso wangu sikuzote.
10 Nao hawajajua jinsi ya kufanya yaliyo manyoofu,”+ asema Yehova, “wale wanaoweka jeuri+ akiba na uporaji katika minara ya makao yao.” ’
12 Kwa maana watu wake mwenyewe walio matajiri wamejaa jeuri, na wakaaji wake mwenyewe wamesema uwongo,+ na ulimi wao una udanganyifu kinywani mwao.+