Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 55:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Uwavuruge, Ee Yehova, ugawanye ulimi wao,+

      Kwa maana nimeona jeuri na kuzozana jijini.+

  • Yeremia 20:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana kila mara ninaposema, mimi hulia. Jeuri na uporaji ndizo ninazotangaza.+ Kwa maana neno la Yehova lilikuwa kwangu kisababishi cha shutuma na cha dhihaka mchana kutwa.+

  • Ezekieli 7:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Jeuri yenyewe imesimama na kuwa fimbo ya uovu.+ Si kutoka kwao, wala kutoka kwa mali yao; na si kutoka kwao wenyewe, wala hamna ukuu wowote ndani yao.

  • Mika 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki