8 Kwa maana kila mara ninaposema, mimi hulia. Jeuri na uporaji ndizo ninazotangaza.+ Kwa maana neno la Yehova lilikuwa kwangu kisababishi cha shutuma na cha dhihaka mchana kutwa.+
11 Jeuri yenyewe imesimama na kuwa fimbo ya uovu.+ Si kutoka kwao, wala kutoka kwa mali yao; na si kutoka kwao wenyewe, wala hamna ukuu wowote ndani yao.