5Nendeni huku na huku katika barabara za Yerusalemu na mwone, sasa, na mjue, nanyi mjitafutie katika viwanja vyake vya watu wote ikiwa mnaweza kumpata mwanadamu,+ ikiwa kuna yeyote anayetenda haki,+ yeyote anayetafuta uaminifu,+ nami nitamsamehe.
7 Kama tangi linavyoweka maji yake yakiwa baridi, ndivyo yeye alivyouweka ubaya wake ukiwa baridi. Jeuri na uporaji zimesikiwa ndani yake;+ ugonjwa na tauni ziko mbele za uso wangu sikuzote.