Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mwishowe yeye akasema: “Tafadhali, Yehova na asiwake hasira,+ bali acha niseme mara hii moja tu:+ Tuseme kumi wapatikane humo.” Naye akamjibu: “Mimi sitaliharibu kwa ajili ya hao kumi.”+

  • Zaburi 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Uniokoe,+ Ee Yehova, kwa maana mshikamanifu amefikia mwisho;+

      Kwa maana watu waaminifu wametoweka kutoka katikati ya wana wa binadamu.

  • Zaburi 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Wote wamegeuka kando,+ wote ni wafisadi kwa njia ileile;+

      Hakuna yeyote anayefanya mema,+

      Hakuna hata mmoja.+

  • Ezekieli 22:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Watu wa nchi wenyewe wameendesha mbinu ya kupunja+ nao wamenyakua katika unyang’anyi,+ nao wamemtendea vibaya+ anayeteseka na aliye maskini, na kumpunja bila haki mkaaji mgeni.’+

  • Amosi 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 enyi mnaoigeuza haki kuwa pakanga tupu,+ ninyi ambao mmeutupa chini uadilifu.+

  • Mika 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki