-
Mwanzo 18:32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 Mwishowe akasema: “Tafadhali Yehova, usiwake hasira, lakini niruhusu niongee kwa mara ya mwisho: Tuseme ni kumi tu wanaopatikana humo.” Akamjibu: “Sitaliangamiza kwa ajili ya hao kumi.”
-