Isaya 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+ Ezekieli 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kama watu hao watatu wangekuwa katikati yake, kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘hawangekomboa wana wala mabinti; wao, wao wenyewe tu, ndio wangekombolewa nayo nchi ingekuwa mahame yenye ukiwa.’ ”+
9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+
16 kama watu hao watatu wangekuwa katikati yake, kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘hawangekomboa wana wala mabinti; wao, wao wenyewe tu, ndio wangekombolewa nayo nchi ingekuwa mahame yenye ukiwa.’ ”+