-
Ezekieli 14:16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘hata ikiwa watu hao watatu wangekuwa humo, hawangewaokoa wana wao wala mabinti wao; wangejiokoa wao wenyewe tu, na nchi ingekuwa ukiwa.’”
-