Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 57:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mimi mwenyewe nitatangaza uadilifu+ wako na kazi+ zako, kwamba hazitakupa faida.+

  • Isaya 64:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nasi tunakuwa kama mtu asiye safi, sisi sote, na matendo yetu yote ya uadilifu ni kama vazi la vipindi vya hedhi;+ nasi tutafifia kama majani,+ sisi sote, na makosa yetu yatatuchukua kama upepo.+

  • Ufunuo 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa sababu unasema: “Mimi ni tajiri,+ nimejipatia utajiri na sihitaji kitu chochote hata kidogo,” lakini hujui kwamba wewe ni mwenye taabu na wa kusikitikiwa na maskini na kipofu+ na uchi,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki