2 Ingawa hivyo siku baada ya siku waliendelea kunitafuta mimi, nao wakawa wakionyesha kupendezwa kuzijua njia zangu,+ kama taifa lililoendeleza uadilifu na ambalo halikuwa limeiacha haki ya Mungu wao,+ kwa kuwa waliendelea kuniomba hukumu za uadilifu, wakimkaribia Mungu ambaye walipendezwa naye,+