Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 27:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova ameniambia hivi, ‘Jitengenezee pingu na nira,+ nawe uziweke juu ya shingo yako.+

  • Yeremia 39:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye akayapofusha macho ya Sedekia,+ kisha akamfunga kwa pingu za shaba, ili ampeleke Babiloni.

  • Yeremia 40:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova baada ya Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi kumtoa katika Rama,+ alipomchukua huku akiwa amefungwa kwa pingu za mkononi katikati ya wahamishwa wote wa Yerusalemu na wa Yuda, ambao walikuwa wakipelekwa uhamishoni katika Babiloni.+

  • Maombolezo 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Amenizuia kana kwamba kwa ukuta wa mawe, ili nisiweze kutoka.+ Amefanya pingu zangu za shaba+ ziwe nzito.

  • Nahumu 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yeye, pia, alikusudiwa uhamisho; alienda utekwani.+ Watoto wake mwenyewe pia wakavunjwa vipande-vipande mbele ya barabara zote.+ Wakapiga kura+ juu ya watu wake waliotukuzwa, na wakuu wake wote wamefungwa kwa pingu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki