40Neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova baada ya Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi kumtoa katika Rama,+ alipomchukua huku akiwa amefungwa kwa pingu za mkononi katikati ya wahamishwa wote wa Yerusalemu na wa Yuda, ambao walikuwa wakipelekwa uhamishoni katika Babiloni.+
10 Yeye, pia, alikusudiwa uhamisho; alienda utekwani.+ Watoto wake mwenyewe pia wakavunjwa vipande-vipande mbele ya barabara zote.+ Wakapiga kura+ juu ya watu wake waliotukuzwa, na wakuu wake wote wamefungwa kwa pingu.+