Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Nebukadneza mfalme wa Babiloni akaja juu ya jiji hilo, watumishi wake walipokuwa wanalizingira.+

  • 2 Wafalme 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Na ikawa kwamba katika mwaka wa tisa+ wa kuwa kwake mfalme, katika mwezi wa kumi,+ siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadneza+ mfalme wa Babiloni akaja,+ ndiyo, yeye pamoja na jeshi lake lote, juu ya Yerusalemu, akaanza kupiga kambi juu yake na kujenga juu yake ukuta wa kulizingira pande zote.+

  • Yeremia 39:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Katika mwaka wa tisa wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi,+ Nebukadreza mfalme wa Babiloni na jeshi lake lote alikuja Yerusalemu na kuanza kulizingira.+

  • Ezekieli 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nawe utalizingira+ na kujenga ukuta wa kulizingira+ na kuweka boma la kulizingira+ na kuweka kambi kulizunguka na kuweka mitambo ya kubomolea kulizunguka pande zote.+

  • Ezekieli 21:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Katika mkono wake wa kuume uaguzi ulikuwa kwa ajili ya Yerusalemu, ili kuweka mitambo ya kubomolea,+ kufungua kinywa cha mtu kwa ajili ya uchinjaji, kupaaza sauti ya king’ora,+ kuweka mitambo ya kubomolea juu ya malango, kujenga boma la kuzingira, kujenga ukuta wa kuzingira.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki