2 Wafalme 24:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Nebukadneza mfalme wa Babiloni akaja juu ya jiji hilo, watumishi wake walipokuwa wanalizingira.+ Yeremia 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Katika mwaka wa tisa wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi,+ Nebukadreza mfalme wa Babiloni na jeshi lake lote alikuja Yerusalemu na kuanza kulizingira.+
11 Na Nebukadneza mfalme wa Babiloni akaja juu ya jiji hilo, watumishi wake walipokuwa wanalizingira.+
39 Katika mwaka wa tisa wa Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwezi wa kumi,+ Nebukadreza mfalme wa Babiloni na jeshi lake lote alikuja Yerusalemu na kuanza kulizingira.+