Ayubu 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, wewe hukuweka ukuta kumzunguka+ yeye na kuzunguka nyumba yake na kuzunguka kila kitu alicho nacho pande zote? Umeibariki+ kazi ya mikono yake, na mifugo yake imeenea kotekote duniani. Zaburi 41:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami, umenitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu,+Nawe utaniweka mbele za uso wako mpaka wakati usio na kipimo.+ Methali 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Anayetembea pasipo kosa ataokolewa,+ lakini yule ambaye amepotoka katika njia zake ataanguka mara moja.+
10 Je, wewe hukuweka ukuta kumzunguka+ yeye na kuzunguka nyumba yake na kuzunguka kila kitu alicho nacho pande zote? Umeibariki+ kazi ya mikono yake, na mifugo yake imeenea kotekote duniani.
12 Nami, umenitegemeza kwa sababu ya utimilifu wangu,+Nawe utaniweka mbele za uso wako mpaka wakati usio na kipimo.+
18 Anayetembea pasipo kosa ataokolewa,+ lakini yule ambaye amepotoka katika njia zake ataanguka mara moja.+