Ezekieli 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 hamtesi mtu yeyote,+ bali hurudisha rehani aliyopewa na mtu mwenye deni lake;+ hamnyang’anyi yeyote,+ bali humpa mwenye njaa chakula chake+ na kumfunika kwa vazi aliye uchi;+
7 hamtesi mtu yeyote,+ bali hurudisha rehani aliyopewa na mtu mwenye deni lake;+ hamnyang’anyi yeyote,+ bali humpa mwenye njaa chakula chake+ na kumfunika kwa vazi aliye uchi;+