Mambo ya Walawi 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Sasa ikiwa mtamuuzia mwenzenu mali au kununua kutoka katika mkono wa mwenzenu, msikoseane.+ Methali 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+
21 Anayemdharau mwenzake anatenda dhambi,+ lakini mwenye furaha ni yule anayewaonyesha kibali wenye kuteseka.+