7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+
16 wala hajamtendea vibaya+ mtu yeyote, hajachukua rehani+ yoyote, wala hajachukua chochote kwa unyang’anyi;+ yeye amempa mwenye njaa mkate wake mwenyewe,+ na amemvika vazi aliye uchi;+