Kumbukumbu la Torati 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+ Ayubu 31:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kula tonge langu peke yangu,Huku mvulana asiye na baba akiwa hali kutokana nalo+ Mathayo 25:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+
11 Kwa maana maskini hatakosa kamwe kuwako katika nchi.+ Ndiyo sababu ninakuamuru, na kusema, ‘Unapaswa kuufungua mkono wako kwa ukarimu kwa ndugu yako anayeteseka na aliye maskini katika nchi yako.’+
35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+