Kumbukumbu la Torati 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Mtu yeyote asitwae kuwa rehani jiwe la kusagia la mkononi au jiwe lake la juu la kusagia,+ kwa sababu ni nafsi anayoitwaa kuwa rehani. Ayubu 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wanamnyakua mvulana asiye na baba hata kutoka kwenye maziwa,+Nao wanachukua kuwa rehani kile alicho nacho mwenye kuteseka.+ Amosi 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao hujinyoosha+ kando ya kila madhabahu+ juu ya mavazi yaliyotwaliwa kama rehani; na divai ya wale ambao wametozwa wao huinywa katika nyumba ya miungu yao.’+
6 “Mtu yeyote asitwae kuwa rehani jiwe la kusagia la mkononi au jiwe lake la juu la kusagia,+ kwa sababu ni nafsi anayoitwaa kuwa rehani.
9 Wanamnyakua mvulana asiye na baba hata kutoka kwenye maziwa,+Nao wanachukua kuwa rehani kile alicho nacho mwenye kuteseka.+
8 Nao hujinyoosha+ kando ya kila madhabahu+ juu ya mavazi yaliyotwaliwa kama rehani; na divai ya wale ambao wametozwa wao huinywa katika nyumba ya miungu yao.’+