Kutoka 22:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Ukichukua vazi la mwenzako kuwa rehani,+ yakupasa ulirudishe kwake wakati wa kutua kwa jua. Kumbukumbu la Torati 24:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na ikiwa mtu huyo yuko katika taabu, hupaswi kwenda kulala na rehani yake.+ Ezekieli 18:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 naye amemtendea vibaya mtu mwenye kuteseka na aliye maskini;+ naye amenyakua vitu kwa unyang’anyi,+ naye hakuwa akirudisha kitu kilichowekwa rehani;+ naye aliyainua macho yake kuelekea sanamu za mavi,+ yeye amefanya chukizo.+
12 naye amemtendea vibaya mtu mwenye kuteseka na aliye maskini;+ naye amenyakua vitu kwa unyang’anyi,+ naye hakuwa akirudisha kitu kilichowekwa rehani;+ naye aliyainua macho yake kuelekea sanamu za mavi,+ yeye amefanya chukizo.+