Hosea 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa maana Efraimu amezidisha madhabahu ili kutenda dhambi.+ Amekuwa na madhabahu ili atende dhambi.+ Hosea 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Israeli ni mzabibu unaoharibika.+ Yeye huendelea kutokeza matunda kwa ajili yake mwenyewe.+ Naye amezidisha madhabahu zake kulingana na wingi wa matunda yake.+ Wao huweka nguzo nzuri+ kulingana na wema wa nchi yake.
11 “Kwa maana Efraimu amezidisha madhabahu ili kutenda dhambi.+ Amekuwa na madhabahu ili atende dhambi.+
10 “Israeli ni mzabibu unaoharibika.+ Yeye huendelea kutokeza matunda kwa ajili yake mwenyewe.+ Naye amezidisha madhabahu zake kulingana na wingi wa matunda yake.+ Wao huweka nguzo nzuri+ kulingana na wema wa nchi yake.