Hosea 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Waisraeli ni mzabibu ulioharibika* unaozaa matunda.+ Kadiri matunda yao yanavyoongezeka, ndivyo wanavyozidisha madhabahu zao;+Kadiri nchi yao inavyozaa vizuri, ndivyo fahari ya nguzo zao takatifu inavyozidi kuongezeka.+ Hosea Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:1 w05 11/15 27 Hosea Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:1 The Watchtower,11/15/2005, uku. 27
10 “Waisraeli ni mzabibu ulioharibika* unaozaa matunda.+ Kadiri matunda yao yanavyoongezeka, ndivyo wanavyozidisha madhabahu zao;+Kadiri nchi yao inavyozaa vizuri, ndivyo fahari ya nguzo zao takatifu inavyozidi kuongezeka.+