5Tafadhali, acha nimwimbie mpenzi wangu wimbo wa mpenzi wangu kuhusu shamba lake la mizabibu.+ Palikuwa na shamba la mizabibu ambalo mpenzi wangu alikuwa nalo kando ya kilima chenye kuzaa sana.
6 “Kwa hiyo hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema, ‘Kama vile mzabibu kati ya miti ya msituni, ambao nimeupa moto uwe kuni, ndivyo nimewatoa wakaaji wa Yerusalemu.+