23 Nao pia wakaendelea kujijengea mahali pa juu+ na nguzo takatifu+ na miti mitakatifu+ juu ya kila kilima kirefu+ na chini ya kila mti wenye majani mengi.+
4 Wao wenyewe wameweka wafalme,+ lakini si kwa sababu yangu. Wameweka wakuu, lakini mimi sikuwa na habari. Wamejifanyia sanamu+ kwa fedha yao na dhahabu yao, kusudi wakatiliwe mbali.+