13 Kwa vyovyote unapaswa kumrudishia rehani hiyo mara tu baada ya jua kutua,+ naye ataenda kulala na vazi lake,+ naye atakubariki;+ nalo hilo litamaanisha uadilifu kwako mbele za Yehova Mungu wako.+
12 naye amemtendea vibaya mtu mwenye kuteseka na aliye maskini;+ naye amenyakua vitu kwa unyang’anyi,+ naye hakuwa akirudisha kitu kilichowekwa rehani;+ naye aliyainua macho yake kuelekea sanamu za mavi,+ yeye amefanya chukizo.+