Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+

      Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+

  • Zaburi 111:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kazi za mikono yake ni kweli na hukumu;+

      נ [Nun]

      Maagizo yake yote anayotoa ni yenye kutegemeka,+

  • Zaburi 119:93
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  93 Sitayasahau maagizo yako mpaka wakati usio na kipimo,+

      Kwa sababu umenihifadhi hai kupitia hayo.+

  • Zaburi 119:100
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 100 Najiendesha kwa uelewaji mwingi kuliko wanaume wazee,+

      Kwa sababu nimeyashika maagizo yako.+

  • Zaburi 119:173
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 173 Mkono wako na unisaidie,+

      Kwa sababu nimeyachagua maagizo yako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki