Zaburi 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+ Zaburi 111:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kazi za mikono yake ni kweli na hukumu;+ נ [Nun]Maagizo yake yote anayotoa ni yenye kutegemeka,+ Zaburi 119:93 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 93 Sitayasahau maagizo yako mpaka wakati usio na kipimo,+Kwa sababu umenihifadhi hai kupitia hayo.+ Zaburi 119:100 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 100 Najiendesha kwa uelewaji mwingi kuliko wanaume wazee,+Kwa sababu nimeyashika maagizo yako.+ Zaburi 119:173 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 173 Mkono wako na unisaidie,+Kwa sababu nimeyachagua maagizo yako.+
8 Maagizo+ kutoka kwa Yehova ni manyoofu,+ huufanya moyo ushangilie;+Amri+ ya Yehova ni safi,+ huyafanya macho yang’ae.+
7 Kazi za mikono yake ni kweli na hukumu;+ נ [Nun]Maagizo yake yote anayotoa ni yenye kutegemeka,+ Zaburi 119:93 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 93 Sitayasahau maagizo yako mpaka wakati usio na kipimo,+Kwa sababu umenihifadhi hai kupitia hayo.+ Zaburi 119:100 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 100 Najiendesha kwa uelewaji mwingi kuliko wanaume wazee,+Kwa sababu nimeyashika maagizo yako.+ Zaburi 119:173 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 173 Mkono wako na unisaidie,+Kwa sababu nimeyachagua maagizo yako.+