Ezra 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na sasa ungameni+ kwa Yehova Mungu wa mababu zenu na kufanya mapenzi yake+ na kujitenga na vikundi vya watu wa nchi hii na wake wa kigeni.”+ Nehemia 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao uzao wa Israeli wakajitenga+ na wageni+ wote, wakasimama na kuungama+ dhambi zao wenyewe+ na makosa ya baba zao.+ Nehemia 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na kuhusu watu wengine, makuhani,+ Walawi,+ watunza-malango,+ waimbaji,+ Wanethini+ na kila mtu aliyejitenga na watu wa zile nchi+ na kufuata sheria+ ya Mungu wa kweli, wake zao, wana wao na binti zao, kila mtu mwenye ujuzi na uelewaji,+
11 Na sasa ungameni+ kwa Yehova Mungu wa mababu zenu na kufanya mapenzi yake+ na kujitenga na vikundi vya watu wa nchi hii na wake wa kigeni.”+
2 Nao uzao wa Israeli wakajitenga+ na wageni+ wote, wakasimama na kuungama+ dhambi zao wenyewe+ na makosa ya baba zao.+
28 Na kuhusu watu wengine, makuhani,+ Walawi,+ watunza-malango,+ waimbaji,+ Wanethini+ na kila mtu aliyejitenga na watu wa zile nchi+ na kufuata sheria+ ya Mungu wa kweli, wake zao, wana wao na binti zao, kila mtu mwenye ujuzi na uelewaji,+