Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na sasa ungameni+ kwa Yehova Mungu wa mababu zenu na kufanya mapenzi yake+ na kujitenga na vikundi vya watu wa nchi hii na wake wa kigeni.”+

  • Nehemia 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nao uzao wa Israeli wakajitenga+ na wageni+ wote, wakasimama na kuungama+ dhambi zao wenyewe+ na makosa ya baba zao.+

  • Nehemia 10:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na kuhusu watu wengine, makuhani,+ Walawi,+ watunza-malango,+ waimbaji,+ Wanethini+ na kila mtu aliyejitenga na watu wa zile nchi+ na kufuata sheria+ ya Mungu wa kweli, wake zao, wana wao na binti zao, kila mtu mwenye ujuzi na uelewaji,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki