28 Watu wengine wote—makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watumishi wa hekaluni, kila mtu aliyejitenga na mataifa yaliyokuwa nchini ili afuate Sheria ya Mungu wa kweli,+ pamoja na wake zao, wana wao, na mabinti wao, kila mtu mwenye ujuzi na uelewaji—