Nehemia 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kisha watu wote wakakusanyika wakiwa na kusudi moja katika uwanja wa jiji uliokuwa mbele ya Lango la Maji,+ wakamwambia Ezra+ mwandishi* alete kitabu cha Sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Waisraeli waifuate.+ Nehemia 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha wazao wa Waisraeli wakajitenga na wageni wote,+ wakasimama na kuungama dhambi zao wenyewe na makosa ya baba zao.+
8 Kisha watu wote wakakusanyika wakiwa na kusudi moja katika uwanja wa jiji uliokuwa mbele ya Lango la Maji,+ wakamwambia Ezra+ mwandishi* alete kitabu cha Sheria ya Musa,+ ambayo Yehova alikuwa ameamuru Waisraeli waifuate.+
2 Kisha wazao wa Waisraeli wakajitenga na wageni wote,+ wakasimama na kuungama dhambi zao wenyewe na makosa ya baba zao.+